Suala la John Mnyika, Mbunge wa Kibamba kukaa kimya muda mrefu lina utata

Nimejaribu kufatilia mwenendo wa Mnyika tangu Dk aondoke sio vocal tena kama zamani, si bungeni,sio kwenye social media xtra.

Sasa nirudi kwa hoja yangu.

Jana nimeona post ya Meya akisema Mnyika is going nowhere akituaminisha kuwa eti Mnyika hana dau.

Jana hiyo hiyo Lema ametweet kuwa kuna Mvulana atahama btn days to come.

Speculation zinaonesha Mnyika ndio anatajwa kuliko mwengine yeyote.


Kwanini Mnyika yupo kimya?

Kwanini Mnyika hajakanusha uzushi huo tangu umeanza kusambaa?

Akili za kuambiwa changanya na zako.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad