Tshishimbi Aanza Kufanya Mazoezi

Tshishimbi Aanza Kufanya Mazoezi
KIUNGO makabaji wa Yanga raia wa Congo Pap Tshishimbi Kabamba, kwa mara nyingine leo ameamsha molari ya wachezaji na mashabiki wa klabu hiyo baada ya kuanza moja kwa moja mazoezi ya pamoja na wenzake yaliyofanyika katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.

Tshishimbi ambaye amekuwa nje ya uwanja kwa takribani wiki mbili akiuguza majeraha ya kifundo cha mguu wake aliyoyapata kwenye moja ya mazoezi yao  siku chache kabla ya Ligi Kuu Bara, kusimama kupisha michezo ya kimataifa.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad