Wanawake Waliovishana Pete ya Uchumba Wafikishwa Mahakamani

Wanawake Waliovishana Pete ya Uchumba Wafikishwa Mahakamani
Wanawake wanaoshtakiwa kwa kushiriki mapenzi ya jinsia moja Mwanza na kuvishana pete ya uchumba na video yao kusambaa mitandaoni, wamefikishwa Mahakama kuu Mwanza leo.

Washtakiwa wote wanne wamekana mashtaka yote waliyosomewa ambapo wamerudishwa rumande mpaka December 13 2017.

Washtakiwa ni Milembe Suleiman (alievisha pete), Janeth Julius Shonza (alievishwa pete) na wengine ni Athen Mkuki alieshtakiwa kwa kosa kusimamia tukio la kuvalishana pete (MC) huku Richard Fabian ameshtakiwa kwa kosa la kusambaza video fupi ya tukio hilo kwenye mitandao.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad