Wasanii Wapamba Sherehe ya Maadhimisho ya Miaka 56 ya Uhuru Mkoani Dodoma

Wasanii Wapamba Sherehe ya Maadhimisho ya Miaka 56 ya Uhuru Mkoani Dodoma

Baadhi ya Wasanii wa kizazi kipya wanaounda kundi la Tanzania All Stars wakiwa katika sherehe za maadhimisho ya miaka 56 ya Uhuru wa Tanzania Bara,yanayoendelea kufanyika kwenye uwanja wa Jamhuri, mjini Dodoma.

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Milimonyi Wawaha....!!!

    To Muze Kwi Dodoma.... Na Mkulu yazaaa Kukaya... Mlungu yamtaze.
    Wadodo Waswano kukaya...
    Karibuni Dodoma ... Jisikieni mko nyumbani kama tulivyo waambia. Milango yetu na Nyoyo Zetu Ziko Wazi.
    Mama Samia... Mkulu Mwaha JPJM.... Karibuni Sana.... Majali Mtoto wa Nyumbani.
    Na ugeni wako wote mnakaribishwa ..karibuni sana Tunafuraha kuona mko nyumbani.
    Tunamuomba Mungu akuzidishieni Upendo Na kila Mara muwe mnakuja.
    Dodoma yetu ina Historia yake na Wamepita watu wengi wakubwa na Mpaka sasa Tunajivunia kwa uamuzi wa Marehemu Baba wa Taifa alipoamua kuipa Daraja la Makao Makuu.
    Lakini alichofanya Baba Magu na Uamuzi wa Kijasiri na Kufuatilia Utekelezaji wa Mh. K Majali
    Nasema kwa furaha kubwa kuwa Umefanya Kazi katika awamu hii yetu ya Tano na Hakika Hapa Kazi Tu.

    Uhuru ni Majukumu na Wabebaji haya Majukumu ni Mimi Na Wewe,
    katika Kuileta Tanzania yetu Mpya.
    Tanzania Oyeee.... Wazalendo Oyeeeee... JPJM na Watendaji wake Mahiri Oyeeeeeeee.
    Mungu Akubarikini Sana.... Na Karibuni Sana Dodoma.

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad