Wolper Awahalika Harmonize na Mpenzi Wake Sara Kwenye Sherehe ya Siku Yake ya Kuzaliwa

Wolper Awahalika Harmonize na Mpenzi Wake Sara Kwenye Sherehe ya Siku Yake ya Kuzaliwa
Muigizaji wa filamu Bongo ambaye kwa sasa ni mbunifu wa mavazi Jacqueline Wolper amekiri kutokuwa na wivu na aliyekuwa mpenzi wake (ex-boyfriend) wake ambaye ni mwanamuziki kutoka kundi la WCB Harmonize na Kuwakaribisha katika kumbukumbu ya siku yake ya kuzaliwa.

Katika kuelekea birthday part ya wolper itakayofanyika leo decemba 7 ameamua kuudhihirishia umma kuwa hana wizu na wa kimapenzi na mpenzi wake wa zamani  ameamua kumualika harmonize pamoja na Sara katika part hiyo.

Wolper aliongeza kuwa amemtaka Sara kuwa rafiki yake na kumsaidia kumpa siri na nyendo za kuchepuka Harmonize

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad