Yanga Waja Juu Wataka Mzee Akilimali Afutiwe Uanachama

Wanachama Yanga Waja Juu Wataka Mzee Akilimali  Atimuliwe
KLABU ya Yanga imeonyesha hali ya kuchoshwa na tabia ya Katibu wa Baraza la Wazee wa Yanga Ibrahim Akilimali za kupinga mabadiliko ya klabu hiyo hivyo imewalazimu kutoa mapendekezo ya kumfuta uanachama.

Mwishoni mwa wiki iliyopita Katibu Mkuu wa Yanga, Boniface Mkwasa alitangaza rasmi nia ya klabu hiyo kuanza mchakato wa kwenda katika mfumo wa hisa jambo ambalo baadae Akilimali alisikika akipinga mfumo huo na kuomba Yanga wamtake radhi.


Akizungumza ndani ya Makao Makuu ya Yanga Makamu Mwenyekiti wa Tawi la Uhuru, Kaisi Edwin alisema, wamekutana wenyeviti wote wa matawi na kukubaliana kuandika barua kwa uongozi huo ili wamfutie uanachama mzee Akilimali.
Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. MNA hela ya kumfuta, wwnzenu simba yule Mzee kilomoni hasa HV anauza komoni tu hana issue

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad