Baada ya Kuchumbiwa Wolper Aonyesha Pete Yake ya Uchumba Aliyovalishwa

Haatimaye Wolper Aonyesha Pete  Yake ya Uchumba Aliyovalishwa
Msanii wa filamu, Jacqueline Wolper amethitisha kuvalishwa pete ya uchumba na kijana anayetambulika kwa jina la Engine.

Muigizaji huyo ambaye alikuwa kwenye mahusiano na kijana Brown mwezi mmoja na nusu iliopita, alisafiri na mpenzi wake huyo mpya mpaka mkoani Kimanjaro na kuvalishwa pete ya uchumba mbele ya wazazi wake.

“Mjivuni nachagua yakunifaa kwa hii kidole🔒#engagement #abouttobemrssomebody
#can’twaitformyweddingday,” aliandika Jack Instagram.

Naye mume wake huyo mtarajiwa ambaye anatambulika kwa jina la Engine, amesema ni kweli amemvalisha pete mrembo huyo wa Bongo Movie na kinachosubiriwa kwa sasa ni ndoa kwa kuwa tayari ameshalipa na mahari.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad