Brown Amshangaa Jack Wolper Kutangaza Ndoa na Mwanaume Mwingine Mwezi Mmoja tu Baada ya Kuachana


Kijana Brown ambaye alikuwa kwenye mahusiano na Jackline Wolper amesema mpaka sasa wana mwezi mmoja tangu wawili hao waachane, lakini tayari Jackline Wolper ameshapata mwenzi na ametangaza ndoa.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad