Drake Adondosha Ngoma Mbili Kupitia Mixtape Yake Mpya

Drake Adondosha Ngoma Mbili Kupitia Mixtape Yake Mpya
Rapper Drake, usiku wa kuamkia leo amechia Mixtape yake iitwayo ‘Scary Hours’ ambapo ndani yake kuna ngoma mpya ziitwazo ‘God’s Plan” na ‘Diplomatic Immunity’.


Ngoma ya “God’s Plan,” iliyopo katika mixtape ya rapper huyo kutoka Toronto imetayarishwa na Noah Shebib, Cardo, pamoja, finds Drizzy na Boi-1da ambaye pia ametayarisha ngoma ya a ‘Diplomatic Immunity’ akishirikiana na Nick Brongers.

Siku chache zilizopita rapper huyo pia alitangaza kuachia documentary ya maisha yake iitwayo ‘Toronto to Houston’, inayotarajiwa kutoka Mwezi wa nane mwaka huu.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad