Faiza Kazungumza “Siongei na Sugu ila Sifurahii Akipata Matatizo”

Baada ya Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu kushikiliwa na Jeshi la Polisi na kufikishwa Mahakamani kwa kosa la uchochezi, Mzazi mwenzake Faiza Ally amezungumza na kusema haongei na Sugu lakini akipata matatizo hawezi kufurahia.

Kuhusu suala la mtoto wao Faiza Ally amesema kwamba Sugu anampenda mwanae na amemlipia ada japo amuhudumii kwenye vitu vingine na hiyo haisababishi yeye kutokuguswa na matatizo ambayo anayapata kutokana ni baba wa mtoto wake.

Bonyeza PLAY hapa chini kusikiliza FULL STORY..

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. wacha unafiki, wewe si ulisema unamuombea afe?

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad