Faiza: Kwa Sasa Mwili Wangu Umenawili Kwasababu Sina Stress za Mapenzi

Faiza: Kwa Sasa Mwili Wangu Umenawili Kwasababu Sina Stress za Mapenzi
MUIGIZAJI wa Filamu za Kibongo, Faiza Ally amejisifia kuwa kwa sasa mwili wake umenawiri kwa sababu hana stress za mapenzi wala za maisha.

Faiza aliiambia Full Shangwe kuwa, mwaka 2018 ameuanza vizuri akiwa hana stress zozote za mapenzi wala maisha kwa sababu amejikita katika biashara zake binafsi.

“Sina stress mwaka 2018, kama kuna mtu niliachana naye hilo lilishapita, kwa sasa ninafurahia maisha na mwili wangu unaona unazidi kunawiri zaidi ya kipindi cha nyuma cha mateso ya mapenzi,”alisema Faiza.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad