Golikipa wa Simba Aishi Maanula Auanza Mwaka Vizurii Afaniikiwa Kufunga Ndoa Leo

Golikipa wa Simba Auanza Mwaka Vizurii AAfaniikiwa Kufunga Ndoa Leo
Idadi ya wachezaji soka makapera inazidi kupungua. Golikipa wa klabu ya soka ya Simba, Aishi Salum Manula amejiondoa mwenyewe katika orodha hiyo.



Mchezaji huyo amefanikiwa kufunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu ajulikanaye kama Aisha.

Manula hakuweza kusafiri na kikosi cha Simba katika mashindano ya kombe la Mapinduzi yanayoendelea huko visiwani Zanzibar kwa ajili ya kukamilisha shughuli za ndoa hiyo.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad