Huu Hapa Ushauri wa Mwijage kwa Wanaotaka Kujenga Viwanda

Huu Hapa Ushauri wa Mwijage kwa Wanaotaka Kujenga Viwanda
Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Charles Mwijage amewataka Watanzania  kabla ya kwenda kujenga viwanda wawafuate Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo (SIDO) ili wapatiwe utaalamu wa mahitaji ya soko kwa sasa.

“Linapokuja swala la viwanda, usinisikilize mimi utaumia, ukitaka kujenga kiwanda kawaone SIDO, wala hupaswi kujua unahitaji kiwanda cha aina gani watakuelezea huko huko.” – Waziri Charles Mwijage

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad