Kiongozi Mkubwa wa Upinzani Kesho Kutimkia CCM. ....Ni Nani Huyo? Endelea Kuwa Nasi

CCM kupitia kwa Katibu Mwenezi Humphrey Polepole leo asubuhi wanasema watampokea kiongozi mkubwa wa Upinzani ambaye atajiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM) .Je, ni nani huyo? Jibu litapatikana Kesho.

Usikose Kuitembelea Mpekuzi Blog mapema asubuhi  kwa habari motomoto

Tags

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad