Lowassa Atoa Ufafanuzi Kuhusu Mazungumzo Yake na Rais Magufuli "Aliitwa Ikulu Akinitaka Kurudi CCM Ila Nilikataa"

Lowassa Atoa Ufafanuzi Kuhusu Mazungumzo Yake na Rais Magufuli "Aliitwa Ikulu Akinitaka Kurudi CCM Ila Nilikataa"

Waziri Mkuu wa zamani na mjumbe wa kamati kuu ya Chama caha Demokrasiana na Maendeleo (CHADEMA), Mhe. Edward Lowassa amesema kuwa alikwenda Ikulu baada ya kuitwa na Rais John Pombe Magufuli akimtaka arudi CCM lakini alimjibu kuhama kwake hakubahatisha.



Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad