Makamo wa Rais Awasili Pemba kwa Ufunguzi wa Soko la Konde

Makamo wa Rais Awasili Pemba kwa Ufunguzi wa Soko la Konde
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewasili Pemba tayari kwa ufunguzi wa Soko la Konde ambapo alipokelewa na Waziri wa Kilimo,Mifugo,Maliasili na Uvuvi Mhe. Hamad Rashid na viongozi wengine wa Chama na Serikali.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad