Maneno ya Kiingunge kwa Rais Magufuli "CCM ni Chama Changu na Nimekiunda Mimi"

Maneno ya Kiingunge kwa Rais Magufuli "CCM ni Chama Changu na Nimekiunda Miimi"
January 6, 2018 President Magufuli amemjulia hali Mzee Kingunge Ngombale Mwiru aliyelazwa katika wodi ya Mwaisela, Hospitali ya Taifa Muhimbili.

Mzee Kingunge anatibiwa majeraha baada ya kushambuliwa na mbwa, akiwa katika kitanda cha hospitali amemwambia President JPM kuwa CCM ni chama chake na amekiunda yeye.

“CCM ni chama changu nimetoka tu, tumeachana lakini nimefanya kazi zote, nimekiunda mimi, hakiwezi kuwa kinyume changu,”– Mzee Kingunge
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad