Maskini Wastara Bado Mzimu wa Sajuki Wamtesa

Maskini Wastara Bado Mzimu wqa Sajuki Wamtesa
Mzimu wa Sajuki Unavyomtesa Wastara Miaka mitano tangu kifo cha Sajuki, mkewe, Wastara Juma bado analia kuteswa na mzimu wa mumewe huyo, kutokana na jinsi walivyokuwa wakipendana na kuishi kwa amani.

Sajuki alifariki miaka mitano iliyopita na kumuacha Wastara mjane, ambapo licha ya kutoka na wanaume kadhaa, Wastara bado analia kuteswa na mapenzi, pengo la Sajuki halijazibwa mpaka leo.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad