Mbowe Atua Mbeya Kusikiliza Kesi ya Sugu

Mbowe Atua Mbeya Kusikiliza Kesi ya Sugu
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mhe Freeman Aikael Mbowe, leo amefika Mahakama ya Mkoa wa Mbeya kwa ajili ya kusikiliza kesi inayomkabili Mbunge wa Mbeya mjini, Mhe. Joseph Mbilinyi na Katibu wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Emmanuel Masonga.

Mhe. Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ anakabiliwa na kesi kutoa maneno ya uchochezi.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad