McGregor, Mayweather Wazidi Kutunishiana Misuli Mitandaoni

McGregor, Mayweather Wazidi Kutunishiana Misuli Mitandaoni
Imepita miezi mitano tangu Conor McGregor alipodondoshwa katika mzunguko wa 10 na Floyd Mayweather, lakini bifu lao halionyeshi ishara ya kupungua.

Mayweather alistaafu kwa mara ya pili katika pambano lake na McGregor. Huku McGregor akifanya kila mtu kumsubiri yeye kurudi ulingoni , wawili hawa wanaendelea kutumia vyombo vya habari vya kijamii kujigamba dhidi ya mwenzake .

Jumatano, Mayweather aliweka picha kwenye Instagram ikionyesha jinsi alivyomtungua McGregor katika pambano lao

Na McGregor hakupoteza wakati naye akatuma picha ya kujigamba

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad