Meya wa Jiji Afunguka Kuhusu Dereva Wake Kudaiwa Kutaka Kufanya Fujo Ofisi za CCM

Meya wa Jiji Afunguka Kuhusu Dereva Wake Kudaiwa Kutaka Kufanya Fujo Ofisi za CCM
Moja ya Stori kubwa Leo January 29, 2018 ni inayomhusu Meya wa Dar es salaam kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)  Isaya Mwita ambayo inahusiana na gari analotumia kuonekana katika ofisi za Chama cha Mapinduzi (CCM) na kusemekana anakihujumu chama hicho.

‘Kuna tatizo limejitokeza baada ya gari yangu kukutwa kwenye ofisi za CCM Mkwajuni, sasa dereva wangu amejikuta katika sakata hili, nataka niwaambie wana-DSM wote kwamba kwanza ofisi za ccm zinatumika kulaza magari ya Umma, kiukweli hakukuwa nia yoyote ovu iliyokuwa imepangwa”-Isaya Mwita

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad