Mke wa mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Ngombale Mwiru, Peras Kingunge amefariki dunia


Mke wa mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Ngombale Mwiru, Peras Kingunge amefariki dunia leo Alhamisi katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.

Mtoto wa Kingunge, Kinje Ngombale amethibitisha taarifa hizo na kwamba kifo cha mama yake kimetokea wakati baba yake pia ni mgonjwa.

"Ni kweli mama amefariki na baba amelala kwa sababu ndio kwanza ametoka chumba cha upasuaji aling'atwa na mbwa. Tutamwambia akiamka," amesema

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Kinje na Ndugu zako wote.. Poleni kwa msiba mkubwa Sote tuko pamoja na tunamuomba Mungu Amlaze mama mahala pema.
    Na Baba apate nafuu na afya njema. Siasa Ni debe la taka Mbovu.
    Mzee na Mama ni watu wa karibu kwetu na tumefanya nao kazi.
    Mungu akupeni Subira na Mshikamano katika Msiba huu wetu Sote.
    Bwana ametoa na bwana ametwaa... Sisi wote hii ndiyo Njia yetu ya Haki.
    wao wametangulia na Sisi tuko Nyuma yao. Pole mwanangu Kinje na ndugu na Jamaa Wote.

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad