Mmh! Zari Kiboko Ampa Ujumbe Huu Mama Diamond “Fanya Tuhame Guest House Tumuachie Mwanao”

 Mmh! Zari Kiboko Ampa Ujumbe Huu Mama Diamond “Fanya tuhame Guest House tumuachie mwanao”
Bado inaonekana ishu ya Diamond Platnumz kudaiwa kulala na wasichana wengine nyumbani kwake Madale, mama watoto wake Zari The Boss Lady hajaichukulia poa na inadaiwa kuwa amekasirishwa na tuhuma hizo zilizosambaa katika mitandao ya kijamii.

Diamond siku kadhaa zilizopita alidaiwa kupeleka msichana mwingine na kulala nae nyumbani kwake Madale, ila baada ya kuenea kwa video clip ikimuonesha msichana huyo akiwa Madale, Zari alionesha kukasirishwa na kuandika snapchat “Ati Madale State lodge au Madale Guest house?”


Baada ya siku kadhaa kupita baadhi ya mashabiki waliamini inawezekana ishu hiyo imepita ila comment ya Zari katika post ya instagram ya mama Diamond inaonesha amekasirika bado, hiyo ni baada ya ku-coment katika picha ya Mama Diamond aliyopost na kuandika “Kubwa la maadui” ikimuonesha Mama Diamond akiwa Madale lakini Zari akacomment “Fanya tuhame Guest House tumuachie mwanao”

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. uhame kwani ni kwako labda bi sandra akisema ni kwake lakini wewe mwenzangu na mie hujaolewa hata wewe ni mchepuko so umeze tu vidonge vyako cheazea watanzania weeee

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad