Museveni Amuandikia Barua Rais Magufuli

Museveni Amuandikia Barua Rais Magufuli
Rais wa Uganda Kaguta Museveni leo Januari 4, 2018 amemuandikia ujumbe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kumpa salamu za mwaka mpya pamoja na kuzungumza juu ya ushirikiano wa nchi hizo mbili.


Ujumbe huo wa Rais Museveni umewasilishwa Ikulu ya jijini Dar es Salaam na Waziri wa Mambo ya Nje wa Uganda Mhe. Sam Kutesa ambapo pia Waziri huyo amefanya mazungumzo na Rais Magufuli.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad