Mwanza: Deogratius Kisandu Akamatwa na Polisi kwa Kosa la Kuandika Matusi ya Nguoni Facebook

Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza limemkamata Deogratius Kisandu ambaye ni mwalimu wa Shule ya Sekondari Mkolani kwa makosa ya kutumia vibaya mitandao ya kijamii kwa kuandika matusi.

Mtuhumiwa huyo anadaiwa kutumia ukurasa wake wa Facebook kuandika matusi ya nguoni kwa takribani wiki nzima...Pia amekuwa akiandika ujumbe mbali mbali za uchochezi na zisizoeleweka kupitia mtandao huo

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad