Mziki wa Singeli Wafika Rwanda

Mziki wa Singeli Wafika Rwanda
Muziki wa Singeli haufanyi vizuri Bongo tu mpaka nje ya mipaka ya nchi yetu watu wanaukubali zaidi.

Msanii Muchoma kutoka nchini Rwanda amethibitisha hilo baada ya kuachia video ya ngoma yake mpya iitwayo ‘Haraka’ ambayo amemshirikisha Mr Kagame ikiwa na mahadhi ya muziki huo ambao umekuwa ukikubalika zaidi maeneo ya uswahilini.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad