Polisi Wamshikilia Mtu Mmoja Anayeuza Viungo vya Binaadam

Polisi Wamshikilia Mtu Mmoja Anayeuza Viungo vya Binaadam
Polisi nchini Cyprus wanasema wanamshikilia raia mmoja wa Israel anayetuhumiwa kufanya biashara ya viungo vya binadam.

Moshe Harel amehusishwa kufanya biashara ya figo kwa matariji wa Israel takriban miaka kumi sasa.

Amehusishwa kuchukua figo za raia wa Kosovo pamoja na Uturuki na nchi nyingine kadhaa ambao mpaka sasa hajawalipa chochote.

Msemaji wa polisi nchini Cyprus amesema mtu huyo alikamatwa uwanja wa ndege wa Larnaca mwezi Desemba.

Anatarajiwa kufikishwa mahakamani siku ya Jumanne kujibu mashtaka yanayomkabili.

Anahitajika kwa makosa kama hayo nchini Kosovo
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad