Raila Odinga Ajiapisha kwa Kushika Biblia Kuwa Rais wa Wananchi Kenya

Raila Odinga Ajiapisha kwa Kushika Biblia
Raila Odinga amefika katika pamoja na viongozi kadha wakuu wa NASA na kujiapisha akishika Biblia.

Amewaambia kuwa mgombea mwenza wake Kalonzo Musyoka wa chama cha Wiper ataapishwa baadaye.

Viongozi wengine wenza wa Nasa Moses Wetangula na Musalia Mudavadi pia hawakufika katika wuanja huo.

Bw Odinga amesema leo ni siku ya kihistoria kwa Kenya.
Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad