Raila Odinga Apuuza Kauli ya Serikali...Adai Kuapishwa Kwake ni Alali


Kiongozi wa Muungano wa Upinzani (NASA), Raila Odinga amejitokeza katika viwanja vya Uhuru na kuapishwa kama Rais wa Watu wa Kenya.
-
Viongozi wengine wa Muungano huo, wakiwemo Kalonzo Musyoka, amabye ndiye alitarajiwa kuapa kama Makamu wake, Musalia Mudavadi na Moses Wetang'ula hawakuepo katika tukio hilo lililochukua chini ya dakika 10.
-
Kiongozi huyo alipuuza madai sherehe hizo za kuapishwa ni jaribio la kuipindua serikali na kuongeza upinzani utauonyesha Ulimwengu kuwa kuapishwa huko ni sahihi kisheria
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad