Rais Magufuli Atuma Salamu za Rambirambi Kufuatia Kifo cha Jaji Mstaafu, Robert Kisanga

Rais Magufuli Atuma Salamu za Rambirambi Kufuatia Kifo cha Jaji Mstaafu, Robert Kisanga
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ametuma salamu za rambirambi kwa Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahimu Juma kufuatia kifo cha Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufani, Mh. Robert Kisanga kilichotokea tarehe 23, Januari mwaka huu, Katika Hospitali ya Regence ya Jijini Dar es Salaam alipokuwa akipatiwa matibabu

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad