Rais Magufuli “Lowassa Hakuwahi Kunitukana Hata Siku Moja”

Rais Magufuli “Lowassa Hakuwahi Kunitukana Hata Siku Moja”
Gumzo la leo ni kwenda Ikulu kwa Waziri Mkuu wa zamani wa Tanzania ambae alikua Mpinzani wa Rais Magufuli kwenye kuwania Urais mwaka 2015 Edward Lowassa ambapo amepokelewa na mwenyeji wake Rais JPM.

Najua wengi tumeona video ya Lowassa akiongea baada ya kufika IKULU lakini hatujaiona ya Rais Magufuli mwenyewe, bonyeza play hapa chini kuona yote aliyoyaonga JPM baada ya kutembelewa na Lowassa.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad