Rick Ross Afuta Picha Zote za Diamond Kwnye Instagram Yaske

Rick Ross Afuta Picha Zote za Diamond Kwnye Instagram Yaske
Msanii wa muziki kutokea nchini Marekani Rick Ross leo January 26,2018 amechukua headlines katika mitandao ya kijamii baada ya kujulikana kafuta picha zote za Diamond Platnumz katika ukurasa wake wa Instagram.
Rick Ross amewahi kumpost mara mbili Diamond Platnumz kupitia ukurasa wake wa instagram, post zote zikihusiana na ishu ya ubalozi wa kinywaji cha Belaire mwezi September 2017.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad