Shilawadu Watibua Harusi ya Shilole ....Ahaidi Kupeleka Ubuyu kwa Shilole na Uchebe Ili Kukuza Kibamia

Shilawadu Watibua Harusi ya Shilole ....Ahaidi Kupeleka Ubuyu kwa  Shilole na Uchebe Ili Kukuza Kibamia
KUFUATIA sherehe ya harusi ya msanii wa muziki Biongo, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ na Ashraf Uchebe iliyofanyika Hekima Garden, Mikocheni jijini Dar, Mtangazaji wa Kipindi cha Shilawadu cha Clouds TV, Soudy Brown aliyekuwa miongoni mwa waliofika katika hafla hiyo, kama kawaida yake hakuacha kutia mbwembwe zake kwa maharusi huku akiwaacha waalikwa wakiangua vicheko kila alipozungumza.

Katika sherehe hiyo iliyofurika wasanii mbalimbali wa Bongo Fleva na Bongo Movies, Soudy alitamba kumnunulia suti bwana harusi (Uchebe) huku akiahipi pia kupeleka ubuyu kwa wanandoa hao kila siku kwa muda wa mwaka mmoja huku akieleza kuwa ubuyu huo hukuza vibamia kuwa bilinganya jambo ambalo kila mtu alilipokea kwa hisia tofauti ukumbini hapo.



Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad