Shilole Atoboa Siri ya Pete Aliyovishwa na Uchebe " Pete Niliyovishwa Imetoka Marekani"

Shilole Atoboa Siri ya Pete Aliyovishwa na Uchebe " Pete Niliyovishwa Imetoka Marekani"
MSANII wa muziki wa Mduara Bongo, Zuwena Mohammed, ‘Shilole’ au Shishi Baby mefunguka kuwa pete ya ndoa aliyovishwa na mume wake, Ashrafu Uchebe katika usiku wa harusi yao kuwa ni zawadi ya pekee aliyopewa na mjomba wake kutoka nchini Marekani

Shilole ameanika hayo kupitia ukurasa waske wa Instagram na kusema;


Wanyamwezi tumefundwa bana 😂😂 pete nzuri tumezawadiwa na unlce wangu kutoka marekani @gift_jeweleries @gift_jeweleries kiboko ya gold original 🙏. Ameandika Shilole.






Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad