Steve Nyerere "Wanawake Kunigombania Mimi sio Dhambi"

Msanii Steve Nyerere anasema haoni ajabu wanawake kujigonga kwake kwa kuwa yeye ni super star hapa bongo na pia ana pesa chafu,

Steve ameenda mbali zaidi kwa kusema kuwa wapo wanawake wanapigana kwa ajili ya Will Smith wa marekani wengine wanaume wanapigana kwa ajili ya Kim Kardashian
Steve amesema kuwa kwa sasa anaishi na mwanamke na ana watoto

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad