Sugu na Wenzake Wamkataa Hakimu Anayesimamia Shauri Lao

Sugu na Wenzake Wamkataa Hakimu Anayesimamia Shauri Lao
Mbunge wa Mbeya Mjini Mhe Joseph Mbilinyi aka Sugu pamoja na mwenzake Emmanuel Masonga wamemkataa Hakimu anayesikiliza shauri lao kwa madai kuwa hawana imani naye baada ya kuwanyima dhamana kinyume cha sheria.

Kesi hiyo imeaihirishwa kwa saa kwaajili ya kusubiri uamuzi iwapo Hakimu huyo ataendelea nayo ama laa.

Siku ya jana Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mhe Freeman Aikael Mbowe, alifika Mahakama ya Mkoa wa Mbeya kwa ajili ya kusikiliza kesi inayomkabili ya kutoa maneno ya uchochezi dhidi ya Rais Magufuli.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad