UFAFANUZI: Mama Aliyesemekana Amejifungua KOPO Mwanza.



Kutoka Kituo cha Afya Igoma Mwanza, Mama mwenye umri wa miaka 29, ambaye ana ujauzito wa miezi 6, amekwenda kituo cha Afya kuomba ajifungue Kopo ambalo anadai aliota usiku amewekewa.

 AyoTv tumefika katika kituo cha Afya na tumezungumza na wahusika ili kuweza kufahamu ukweli, Zaithuni Lihonge ndiye alikuwa Daktari wa zamu katika kituo hicho cha afya ambaye alishughulika na zoezi zima la kumhudumia mama huyo, Bonyeza PLAY kumtazama akielezea hali halisi.

VIDEO:

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad