“Usimdharau Pengine Kesho Yake Ikawa Ndio Usalama Wako”- Dogo Janja

“Usimdharau Pengine Kesho Yake Ikawa Ndio Usalama Wako”- Dogo Janja
Mwezi mmoja umepita tokea Papii Kocha na baba yake Babu Seya waachiwe huru na kuona wakifanya baadhi ya shows na ngoma zao pendwa za zamani ingawa wameonekana studio wakiandaa kazi zao mpya ambazo bado hazijatoka.



Maswali yamekuwa mengi kwa baadhi ya mashabiki baada ya Dogo Janja kupost picha akiwa na Babu Seya pamoja na wanae na kuandika caption inayosema “Haijalishi mtu ana hali gani leo usimdharau pengine kesho yake ikawa ndio usalama wako…. #BabuSeya #PapiiKocha”
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad