VIDEO: Babu Seya, Papii Kocha Kurekodi Wimbo Wanene

Wasanii Wakongwe Nchini, Nguza Viking aka Babu Seya na mwanaye, Johnson Nguza ' Papii Kocha' wakiambatana na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Juliana Shonza walitembelea studio za Wanene Entertainment zilizopo Mwenge, Dar es Salaaam.

Wasanii hao walipelekwa katika studio hizo na Waziri Shonza na kupokelewa na mmiliki wa Wanene, Dash ambapo walifanya mazungumzo ya pamoja yaliyolenga kurekodi nyimbo kwa wasanii hao na kusaidiwa kurudisha vipaji vyao ikiwa ni sapoti ambayo Wizara imeamua kuitoa kwa wasanii hao.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad