VIDEO: Mbowe - Asema Mtulia Ni Gunia La Misumari

Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA leo kimeendelea na kampeni zake za ubunge wa jimbo la Kinondoni ambapo Mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Freeman Mbowe aliwahutubia wanachama na wafuasi wao huku akimnadi mgombea wao, Salumu Mwalimu.

"Fursa aliyoitoa Mwenyezi mungu ya kuwapa nafasi ya kuchagua mbunge makini ambae atawatetea,  inapaswa muitumie vizuri kuliko kuwa na Mbunge mzigo ambae ni gunia la misumali'' amesema Mbowe


Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad