Wizkid Ashangazwa na bei ya Midoli ya Kufanyia Ngono ‘S3x Dolls’

Msanii wa muziki kutoka Nigeria, Wizkid ameshangazwa na bei ya midoli ya ngono ‘Sex Dolls’ ambapo amesema kuwa bei ya midoli hiyo ni kubwa kulikuwa hata gharama ya kununua wanawake wanaojiuza yaani makahaba.

Wizkid amesema makampuni yanayotengeneza midoli hiyo hayajui jinsi ya kupanga bei kuendana na mazingira kwani haamini kuwa mtu anaweza kutumia mamilioni ya pesa kununua midoli hiyo ile hali anaweza kulipia gharama ndogo kununua kahaba na kujiridhisha kingono.

“Najiuliza watu wanaotengeneza midoli ya ngono, hivi hawajui bei ya makahaba mtaani,“ameandika Wizkid kwenye ukurasa wake wa Twitter.

Kauli nhiyo imekuja baada ya wiki iliyopita duka kubwa la midoli ya ngono ya kampuni ya eSex Dolls kufunguliwa nchini humo ambapo bei ya chini ya midoli hiyo ni tsh milioni 5 huku bei ya juu ikiwa hadi milioni 10 kitu ambacho watu wengi wa Nigeria wameshangazwa na bei hiyo.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad