Ajali Mbaya ya Daladala Yatokea Kimara

Ajali Mbaya ya Daladala  Yatokea Kimara

Basi la abiria (Daladala) linayofanya safari zake kati ya Mbezi na Makumbusho jijini Dar es Salaam limepinduka leo Jumatatu, Februari 26, 2018 asubuhi katika eneo la Kimara Korogwe.

Polisi wapo eneo la tukio kufanya jitihada za kuokoa watu waliokuwemo kwenye ajali hiyo ambapo basi limepinduka na kugeuka magurudumu yakawa juu.

Idadi ya majeruhi haijajulikana na iwapo kuna watu waliopoteza maisha kwenye ajali hiyo. Tutakupa taarifa zaidi baadaye.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad