Baada ya Kifo cha AKWILINA Sheria inasemaje kwa Vifo Kama Hivyo


Baada ya tukio la kupigwa risasi na kufariki mwanafunzi wa chuo cha NIT Akwilina Akwilini wakati wa maandamano ya CHADEMA licha ya kwamba yeye hakuwa kwenye maandamano hayo, tumemtafuta mwanasheria Jebra Kambole ambaye ameeleza kuhusu sheria inasemaje endapo vinatokea vifo vya aina hiyo..?

Mwanasheria Jebra Kambole amesema kwamba sheria inatoa muongozo kwamba kimsingi jeshi la polisi lina mamlaka ya kufanya uchunguzi aidha linajichunguza lenyewe au linachunguza kitu kingine na wakishajua nani amefanya kosa atachukuliwa hatua za kisheria.

Msikilize hapa chini mwanasheria JEBRA KAMBOLE akieleezea vizuri kwa kubonyeza PLAY
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad