Breaking news: Joshua Nassari Afikishwa Mahakamani

Breaking news: Joshua Nassari Afikishwa Mahakamani
Taarifa kutoka Arusha zilizotufikia hivi karibuni ni kuhusu  Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nasari amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Arumeru.

Nassari anakabiliwa na tuhuma za shambulio analodaiwa kulifanya kwa aliyekuwa Mtendaji wa Kata ya Makiba mwaka 2014. Mtendaji huyo bado hajatajwa jina lake.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad