Chadema Yakimbiwa na Wadiwani Wawili na Wanachama 20 Kagera...Watimkia Chama Hichi


KYERWA, KAGERA: Madiwani wawili wa CHADEMA, TulakilaTwijuke wa Kata ya Bugomora na Sadath Jeremiah wa Kata ya Kibale wamehamia CCM
-
Pia wanachama takribani 20 kutoka vyama mbalimbali vya Upinzani Wilayani humo wamehamia CCM
-
Madiwani na Wanachama hao wamedai kuridhishwa na utendaji wa Rais John Magufuli na kwamba hawajahongwa na mtu yeyote
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad