Hashim Lundenga Akubali Yaishe..Aamua Kuachana na Shindano la Miss Tanzania


BURUDANI: Kampuni Waandaaji wa Shindano la Miss Tanzania(Lino International Agency) yatangaza kuachana rasmi na uandaaji wa shindano hilo

Miaka ya hivi karibuni shindano hilo liligubikwa na kasoro ikiwemo ucheleweshwaji wa zawadi kwa washindi

Je, kipi kifanyike ili kuinua tena shindano hili la urembo nchini?

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad