Hatimaye Serikali ya Kenya Yavifungulia Vituo vya Runinga Vya Citizen Tv na Inooro TV

Hatimaye Serikali ya Kenya Wavifungulia  Vituo vya Runinga Vya Citizen Tv na Inooro TV
Kutoka +254 Kenya ni headlines juu ya headlines Leo February 9, 2018 nikupe stori kuhusu Vituo vya runinga vya Citizen TV na Inooro Tv vimefunguliwa tena nchini Kenya baada ya kufungiwa kwa zaidi ya wiki moja.

 Vituo hivi viwili ndivyo vilivyokuwa vimesalia kurejeshwa hewani, baada ya KTN News na NTV kufunguliwa wiki hii.
Serikali ilizima mitambo ya TV hizo wiki iliyopita, baada ya kudai kuwa vilikuwa vimepanga kuonesha moja kwa moja kuapishwa kwa kiongozi wa muungano wa upinzani NASA, kama Rais wa Kenya.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad