Jeshi la Polisi Congo Latumia Nguvu Kuwatawanya Wapinzani Wanaompinga Rais Kabila


DR CONGO: Jeshi la Polisi limetumia mabomu ya machozi na risasi kuwatawanya waandamanaji wanaoupinga utawala wa Rais Joseph Kabila

Mapema leo Wafuasi wa Rais Kabila walilizunguka Kanisa Kuu katoliki(Kinshasa) ili kuzuia ibada ambayo ingefuatiwa na mkutano mkubwa wa kumshinikiza Kabila aachie madaraka

Rais Kabila huyo amekuwa kwenye mgogoro na Kanisa hilo baada ya kushindwa kuheshimu Katiba iliyomtaka aondoke madarakani kataba wa kuondoka madarakani Disemba mwaka 2016

Kabila alitakiwa kuitisha Uchaguzi lakini alishindwa kwa madai kuwa nchi kukosa fedha

Hapo ndipo kanisa lilipo geuka msuluhishi ili kunusuru taifa lisipasuke kutokana na mvutano kati ya Rais na wapinzani wake
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad