Kibenteni cha Kenya Chajitokeza Kumfuta Machozi Zari Baada ya Kutangaza Kumwacha Diamond

Kibenteni cha Kenya Chajitokeza Kumfuta Machozi Zari Baada ya Kutangaza Kumwacha Diamond
Msanii wa muziki wa Injili kutoka nchini Kenya, Ringtone Apoko ameweka wasi mipango yake ya kutoka kuwa katika mahusiano na Zari The Boss Lady.

Maamuzi ya msanii huyo yanakuja ikiwa ni siku kadhaa zimepita tangu Zari kutangaza kuachana na Diamond. Kupitia mtandao wa Instagram Ringtone Apoko ameeleza kuwa Diamond hawezi kumuhudumia Zari kwani mrembo huyo anamuhitaji mtu kama yeye.

“Zari Hassan needs a man to lead her to church and to Christ. Diamond can’t offer such. Naomba namba yake Zari inbox me asap if you have it. MWANAMME NI YULE ANAJUA YESU NA MALI ANAYO NA WAKO WENGI HAPA KENYA. By the way wakisii hawananga shida bibi akija na watoto” ameandika.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad