Kikosi cha Maangamizi cha Simba Hiki Hapa

Kikosi cha Maangamizi cha Simba Hiki Hapa
Kikosi cha klabu ya Simba hii leo kinatarajia kushuka dimbani majira ya saa 10:00 alasiri kuivaa Azam FC ikiwa ni mchezo wa ligi kuu soka Tanzania Bara.

Kuelekea katika mechi hiyo wekundu hao wa msimbazi wameanika kikosi chao kitakacho shuka uwanjani kuwavaa wana lamba lamba.


Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad